mende 2014
JF-Expert Member
- Apr 13, 2014
- 763
- 131
Toyota Costa ikitokea Mwanza kwenda Bunda haya tisa na kumi kujeruhiwa katika kijiji cha Nyamhongolo wanaume 5 na wanawake 4. Gari ni aina ya Toyota Costa iliyogonga Lori iliyopaki pembeni mwa barabara na dereva wa lori amekamatwa ila wa Costa aitwaye Yohana ametoroka na anatafutwa na jeshi la polisi. Source ITV