Napenda kuwataarifu ya ajali iliyotokea hapa Kibiti
Mwalimu mwenzangu kagongwa na gari yeye alikuwa anaendesha pikipiki
Pia hapohapo mzee mwingine kagongwa na gari za kusini...ila sijapata taarifa nzur
Napenda kuwa taarfa ya ajar iliyotokea hapa kibiti
Mwalimu mwenzangu kagongwa na gari yeye alikwa anaendesha pikipik
Pia hapohapo mzee mwingine kagongwa na gari za kusini...ila cjapata taarfa nzur
Akili ya mtu haiongezwi kwa madarasa, huzaliwa nayo, darasani tunanoa tu akili iliyopo.
Tunafanya makosa makubwa sana kuwaamini watu wote waliopitia madarasa.
Kajifunze kwanza uandishi ndio urudi hapa. Walimu kama ninyi ndio mnaofelisha vijana wetu mashuleni. "Ajari" ndio upuuz gain? Half bila aibu eti" mwalimu mwenzangu"