Ajali ya wanasiasa!

Joined
Jan 1, 2012
Posts
38
Reaction score
8
Wanasiasa 40 walipata ajali mbaya porini, mkulima mmoja alisogea kuwatazama. akaamua kuchimba shimo na kuwazika wote, polisi wakafika eneo la tukio mahojiano kama ifuatavyo:

polisi : zipo wapi maiti
Mkulima : Nimezizika zote.

Polisi: una hakika wote walikua wamekufa?
Mkulima : kuna wengine walilalamika kwamba hawajafa , ila si unajua wana siasa walivyo waongo? nikajua wanadanganya tu!
 
Mh jamaa alikuwa kilaza...
Ila hii ni km ilishaletwa last year.
worry out pamoja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…