Ajali ya wanasensa Kigoma

Ajali ya wanasensa Kigoma

Msendekwa

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2012
Posts
442
Reaction score
169
Kumetokea ajali Kigoma, wanasensa waliokuwa wanatoka semina wamepata ajali, wawili wamekufa, mmoja ni head ticha, mwingne konda wa gari.
Wanasensa wengne 8 hali mbaya.
Source - TBC habari
 
duh mungu awalaze wanapostahili marehemu wote pia awape afya njema majeruhi warudi kusaidia taifa hili.sasa hapo ndio kasheshe ztakapoanza,ngoja tuskie wapinzani
 
Wimbi la ajali bado ni janga kubwa, chukua tahadhari uwapo barabarani.
 
Back
Top Bottom