Kumetokea ajali Kigoma, wanasensa waliokuwa wanatoka semina wamepata ajali, wawili wamekufa, mmoja ni head ticha, mwingne konda wa gari.
Wanasensa wengne 8 hali mbaya.
Source - TBC habari
duh mungu awalaze wanapostahili marehemu wote pia awape afya njema majeruhi warudi kusaidia taifa hili.sasa hapo ndio kasheshe ztakapoanza,ngoja tuskie wapinzani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.