Pole kwa yaliyotokea,
Pili Mkubya2 karibu jamvini. Pia naomba be a bit more specific, ukisema tuu ajali ya treni, ni too broad. Sema ni treni ya TRC au Tazara. Ukiachia kwenye treni tuu, watu watajua ni reli ya kati.
Pia unasema ni treni ya mizigo au abiria, ni treni kweli au kichwa cha treni, au kiberenge, ukiishia kwenye treni tuu, picha inajijenga ni treni ya abiria.
Pole tena kwa wahanga wa ajali hii.