Chachu Ombara
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 6,162
- 11,229
Watu 2 wamefariki dunia na wengine zaidi ya 10 wamejeruhiwa, baada ya gari walilokuwa wakisafiria kutoka Bagamoyo kwenda Dsm kuacha njia na kugonga mti kisha kupinduka ktk eneo la Mbuyuni -Tegeta.
Source: RADIO1 STEREO
Source: RADIO1 STEREO