hii inatokana na ufinyu wako wa kuchambua maelezo, toka lini vijana ikamaanisha wavulana?
na watoto ina maana gani? wazee je?
tupunguze kuwa wapinga kila kitu, sio sehemu yake kuongelea mjadala huu tho,
Walale pema peponi wote waliohusika na ajali hizo za boda boda