Ajali ya basi la rs dar -bk

Ajali ya basi la rs dar -bk

Ados

Senior Member
Joined
Feb 26, 2011
Posts
117
Reaction score
20
Basi hili limepata ajali leo asubuhi baada tu ya kutoka mji wa kahama kuelekea Bk inasemekana kuna watu wamepoteza maisha na wengine kujeruhiwa vibaya , basi hili liligonga, mwenye ndugu aliyekuwemo kwenye basi hili fuatilia .chanzo cha habari hizi ni mke wangu aliyekuwemo kwenye Basi ila yeye amepona na mtoto
 
Basi hili limepata ajali leo asubuhi baada tu ya kutoka mji wa kahama kuelekea Bk inasemekana kuna watu wamepoteza maisha na wengine kujeruhiwa vibaya , basi hili liligonga, mwenye ndugu aliyekuwemo kwenye basi hili fuatilia .chanzo cha habari hizi ni mke wangu aliyekuwemo kwenye Basi ila yeye amepona na mtoto

Asante kwa taarifa hii muhimu, nasi pia tunafuatilia kupata habari zaidi. Wiki moja tu iliyopita ajali zimeua zaidi ya watu 14 Mbeya na Kahama. Hakuna muda wa kumtafuta mchawi ni nani kama sisi wenyewe wahanga wakubwa tutaendelea kubweteka, kunyosheana vidole na kungoja mabadiliko. Tuchukue tahadhari Watanzania na tusimamie haki zetu pale inapobidi maana ajali hizi zinatumaliza.
 
pole sana ndugu yetu Mungu atakusaidia mshukuru sana ameipenda familia yako
 
Asante kwa taarifa hii muhimu, nasi pia tunafuatilia kupata habari zaidi. Wiki moja tu iliyopita ajali zimeua zaidi ya watu 14 Mbeya na Kahama. Hakuna muda wa kumtafuta mchawi ni nani kama sisi wenyewe wahanga wakubwa tutaendelea kubweteka, kunyosheana vidole na kungoja mabadiliko. Tuchukue tahadhari Watanzania na tusimamie haki zetu pale inapobidi maana ajali hizi zinatumaliza.

Angalia tarehe,mada ina wiki sasa.Ajali ya kahama unayoizungumzia imetajwa hapo.
 
Back
Top Bottom