Ajali ya basi la PACL Dar - Dodoma

Ajali ya basi la PACL Dar - Dodoma

dionsio

Senior Member
Joined
Oct 11, 2013
Posts
169
Reaction score
29
Wapendwa mwenye taarifa kamili atujuze, Nimesikia kuna ajali ya basi la Priscus Alexzanda Company Limited (PACL) maeneo ya Magubike, likitokea Dar kwenda Dodoma.
 
sasa wewe utaletaje habari ambazo hazina uthibitisho? piga simu kwanza uulize au umetumwa kuchafua biashara za watu? maana hiyo kampuni mpya kwa idodomia.
 
wapendwa mwenye taarifa kamili atujuze. nimesikia kuna ajari ya basi la priscus alexzanda company limited PACL maeneo ya magubike, likitokea dar kwenda dom.

Umeambiwa lilikuwa linatokea wapi, kuna basi la PACL nimepishana nalo kama masaa mawili yaliyopita maeneo ya Dakawa linatokea Dodoma.
 
na kunatetesi watu 5 wamefariki. atakayepata habari kamili aje ku2juza
 
Yap hiyo ajali kweli imetokea source ni abiria aliyekuwa anasafiri leo na kimbinyiko ya saa tano inayotoka dsm kwenda dodoma wameishuhudia hiyo ajali na pia wameweza kuondoka na majeruhi pamoja na abiria wengine kuelekea dodoma...idadi ya watu waliopoteza maisha sifahamu ila ajali ni ya uso kwa uso na lori
 
Back
Top Bottom