Ajali nje kidogo ya mji Chalinze

Ajali nje kidogo ya mji Chalinze

n00b

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2008
Posts
1,013
Reaction score
2,684
Basi limedondoka Mboga nje kidogo ya Chalinze. Hakuna aliyefariki ila wapo majeruhi. Basi lilikuwa linatokea Pangani Tanga kwenda Dar es Salaam

attachment.php


attachment.php


attachment.php


attachment.php
 

Attachments

  • photo1.JPG
    photo1.JPG
    73 KB · Views: 7,851
  • photo.JPG
    photo.JPG
    67 KB · Views: 6,780
  • photo3.JPG
    photo3.JPG
    65.7 KB · Views: 6,924
  • photo4.JPG
    photo4.JPG
    61.7 KB · Views: 7,509
ila limedondoka vizuri kweli.
hapa maintenance itakuwa kwenye rangi tu kama ni gari la chuma kama mchina itabidi na bodi ikdogo inyooshwe.
 
Poleni sn hee mungu awasaidie watu wako asa ktk kpindi iki
 
Basi limedondoka Mboga nje kidogo ya Chalinze. Hakuna aliyefariki ila wapo majeruhi. Basi lilikuwa linatokea Pangani Tanga kwenda Dar es Salaam

attachment.php


attachment.php


attachment.php


attachment.php

polen sana kwa majeruh MUNGU awape afya njema
 
Basi limedondoka Mboga nje kidogo ya Chalinze. Hakuna aliyefariki ila wapo majeruhi. Basi lilikuwa linatokea Pangani Tanga kwenda Dar es Salaam
attachment.php
attachment.php
attachment.php
attachment.php
Linafanana na Raha LEO,majini yao yanataka damu ya kafara,huu ndio msimu wao!
 
dah! so sad tranquillity.Mwenyezi Mungu awalinde majeruhi.pole sana
 
Duh, eti HATA UKILIA BAKORA BADO ZIKO PALE PALE...haya wewe dereve ahata ukitoroka Bakora bado ziko pale pale
 
Heee! limeanguka vizuri? Huku watu wameumia

sasa basi si halijaumia??
kuumia kwa watu hakutegemei basi kuanguka vby ama vzr watu kuumia ni matokeo ya ajali tu.

ila kwa mwenye mali atasema namshukuru Mungu,gari langu halijaumia sana
 
Poleni sana mliopata ajali. Pia nawapa pole abiria waliokuwa wanasafiri leo kwenda Mikoa ya kati ya Kaskazini kwani hilo basi liliziba kabisa njia na kusababisha foleni kubwa. Binafsi nimelazimika kuzunguka kutoka Mlandizi mpaka Msata then Chalinze na kuendelea na Morogoro road, uzuri wa private car it gives flexibility.
 
sasa basi si halijaumia??
kuumia kwa watu hakutegemei basi kuanguka vby ama vzr watu kuumia ni matokeo ya ajali tu.

ila kwa mwenye mali atasema namshukuru Mungu,gari langu halijaumia sana

jumapili Njema ! Usije ukawa unatoa sadaka bure... Poleni wote mliopata ajari Mungu mwenyezi yupo pamoja nanyi
 
ila limedondoka vizuri kweli.
hapa maintenance itakuwa kwenye rangi tu kama ni gari la chuma kama mchina itabidi na bodi ikdogo inyooshwe.

Aiseeee wewe ni kabila gani wajameni? Kuna mchaga mmoja gari yake ilipata ajali na kuua watu watatu akiwemo mtoto wake basi alipopewa taarifa kitu cha kwanza aliuliza kama gari ni zima!!!
 
Poleni sana wote mliojeruhiwa.Mungu yupo nanyi.Sifa na utukufu kwake.
 
Back
Top Bottom