mchlmmnl2 Senior Member Joined Jul 13, 2013 Posts 168 Reaction score 56 Aug 4, 2014 #1 Gari la Cocacola latumbukia mtaroni usiku wa kuamkia leo maeneo ya barabara ya Shinyanga karibu na ofisi za Manispaa ya Shinyanga hakuna taarifa za majeruhi wala kifo katika ajali hiyo. Attachments 1407127288918.jpg 96.2 KB · Views: 326 1407127368105.jpg 75.8 KB · Views: 296 1407127401110.jpg 68.6 KB · Views: 278
Gari la Cocacola latumbukia mtaroni usiku wa kuamkia leo maeneo ya barabara ya Shinyanga karibu na ofisi za Manispaa ya Shinyanga hakuna taarifa za majeruhi wala kifo katika ajali hiyo.
GOOGLE JF-Expert Member Joined Oct 29, 2012 Posts 1,889 Reaction score 1,127 Aug 4, 2014 #2 Soda harali yenu, kunyweni
P PhD JF-Expert Member Joined Jul 15, 2009 Posts 4,835 Reaction score 4,240 Aug 4, 2014 #3 GOOGLE said: Soda harali yenu, kunyweni Click to expand... Leo SODA itatumika kupikia chai na ugali
First Born JF-Expert Member Joined Jul 11, 2011 Posts 5,317 Reaction score 1,484 Aug 4, 2014 #4 inekuwa la biya mngenitamanisha.. lakini soda!!! marathi tu..
Idimulwa Platinum Member Joined May 27, 2011 Posts 5,106 Reaction score 2,693 Aug 4, 2014 #5 Magari mabovu hayo,majuzi limefeli breki na kuua mtoto wa mwanakwaya mwenzangu pale National-Nyakato,Mwanza
Magari mabovu hayo,majuzi limefeli breki na kuua mtoto wa mwanakwaya mwenzangu pale National-Nyakato,Mwanza
wilchuma JF-Expert Member Joined May 16, 2013 Posts 1,102 Reaction score 333 Aug 4, 2014 #6 Dah hilo lingedondoka huku kwetu kimara