Poleni sana Mungu awapokee na awarehemu
TBS inatabeba damu za watu wanaoendelea kupoteza maisha kwa ajili ya 10% kwa kuwaruhusu watu kuingiza matari feki.Hizo pesa wanazopokea watakufa wataziacha,watu wanawasaidia wazungu kuanzisha mbuga huko majuu ili wazungu wasije,Maige na Tbs wamoja tuu
TUKIFUFUE KIWANDA CHA MATAIRI CHA ARUSHA
Matairi ya TBS ya Elekege yatamaliza watu. Ni muhimu sana kuanzisha operation maalum ya kukagua matairi ya mabasi yote ya abiria hasa yale yanayofanya safari za mikoani ili kunusuru maisha ya watu. Na pia ukaguzi wa matairi yanayoingizwa nchini uangaliwe tena upya. RIP wasafiri wa NBS.
Kuna mambo Mengi kwa hawa wamiliki wa Magari Ambapo Polisi Hawajui!! And any other ila wachache!! Haya Magari yanayokuja kama scrapers Kutoka Ulaya Yanakuwa Yamebebeshwa Matairi Mengi sana ambayo Yote Yankuwa Yamekwisha expire!! Sasa Hawa Wamiliki wanakuwa na roho Ngumu Huwa wana Tabia ya Kuyatumia na hadi Kama Hivyo wanaita Bahati Mbaya!! Eh Mungu Terehemu!!