Bus la Jay toka Dar kuelekea Tanga limepata ajari, Lilikuwa lina overtake kwenye daraja liligonga pikipiki ikiwa na watu wawili wote wamekufa, bus lilipoteza mwelekeo na kwenda kugonga muembe na kusababisha dereva kufa hapo hapo mpaka sasa dereva ameshindwa kunasuliwa kwenye usukani.
Du naona ajali zimeanza tena. Nimesoma kuwa basi la Nganga nalo limepata ajali leo na watu kadhaa wamekufa, na hii ya Msata ni ajali nyingine ya basi kwa siku ya leo pia imeua. Inasikitisha sana, poleni majeruhi na wafiwa.
Bus la Jay toka Moro kuelekea Tanga limepata ajari, liligonga pikipiki ikiwa na watu wawili wote wamekufa, bus lilipoteza mwelekeo na kwenda kugonga muembe na kusababisha dereva kufa hapo hapo mpaka sasa dereva ameshindwa kunasuliwa kwenye usukani.
ndio hata mimi napita hapa wami baada ya kumaliza kupita daraja kuna lori lime anguka na kufunga barabara hakuna kupita gari za kutoka chalinze na kutoka tanga zote zinapita njia ya porini naona kuna polisi wana elekeza magari .