[FONT=Georgia, Times New Roman, serif]
http://4.bp.blogspot.com/-VEwju7R3A...AN4/U3W6RdhahwM/s1600/IMG_20140414_065312.jpg[/FONT]
[FONT=Georgia, Times New Roman, serif] Hii ni ajali iliyotokea eneo la makongo ambapo gari ndogo imeangukiwa na gari la mchanga asubuhi hii. Juhudi za uokoaji za askari we jeshi la wananchi wakisaidiana na kikosi cha zimamoto na uokoaji walifanikiwa kumtoa dereva wa gari dogo mida ya saa 1:20 za asubuhi baada ya kukaa humo tangu saa 11 asubuhi. Gari aina ya Landrover maalumu kwa ajili ya kutoa misaada ya magari yaliyopata hitilafu barabarani likijaribu kutoa msaada.[/FONT]
http://4.bp.blogspot.com/-VEwju7R3A...AN4/U3W6RdhahwM/s1600/IMG_20140414_065312.jpg[/FONT][FONT=Georgia, Times New Roman, serif]
http://3.bp.blogspot.com/-OW4kg7rS_...AOA/i00FVJqcn9U/s1600/IMG_20140414_065414.jpg[/FONT]
[FONT=Georgia, Times New Roman, serif] Gari ambalo limeangukiwa na kufukiwa na mchanga uliokuwemo kwenye gari lililopata ajali. Dereva wa gari dogo bado yumo ndani.
http://3.bp.blogspot.com/-OW4kg7rS_...AOA/i00FVJqcn9U/s1600/IMG_20140414_065414.jpg[/FONT][/FONT]
[FONT=Georgia, Times New Roman, serif]
http://1.bp.blogspot.com/-9sErKbC4a...AOI/Im33PtZy3iw/s1600/IMG_20140414_065427.jpg[/FONT]
[FONT=Georgia, Times New Roman, serif] Gari ambalo limeangukiwa na kufukiwa na mchanga uliokuwemo kwenye gari lililopata ajali. Dereva wa gari dogo bado yumo ndani.
http://1.bp.blogspot.com/-9sErKbC4a...AOI/Im33PtZy3iw/s1600/IMG_20140414_065427.jpg[/FONT][/FONT]
[FONT=Georgia, Times New Roman, serif]
http://2.bp.blogspot.com/-GjdXR1lA5.../fqn6BUD-2Hk/s1600/IMG_20140414_065449(1).jpg[/FONT]
[FONT=Georgia, Times New Roman, serif] Askari wa jeshi la wananchi wakijitahidi kutoa msaada wa kumnasua dereva aliyefukiwa ndani ya gari..
http://2.bp.blogspot.com/-GjdXR1lA5.../fqn6BUD-2Hk/s1600/IMG_20140414_065449(1).jpg[/FONT]CHANZO: MATUKIO TZ BLOG
[/FONT]
[FONT=Georgia, Times New Roman, serif][/FONT]