Jamani eeh excuse my ignorance.................Designer wa hii barabara ni nani?......akina Fundi Mchiundo/Moran75/Mkuu Webby.............jamani huu mfereji vipi......yaani nina maswali mengi sanaaa...............
Vipi kuhusu safety audits ya hizi barabara zetu...........it is Sad kwa kweli........poleni sana wafiwa