HilO linaonekana lilikuwa linatokea bandarini. Tatizo haya makontena yanajazwa mizigo mizito kupindukia ili kupunguza gharama za usafirishaji kiasi cha kufanya maroli kuzidiwa. Ukute hilo kontena lina mzigo wa tani hamsini.
Naona ulikuwa unawahi kupost mwendokasi sio darajani ni huku mwanzoni ukitokea uhasibu kwenye zile nusu flyover sasa unaposema darajani unafanya watu wawaze mbal..