20PROFF
JF-Expert Member
- Nov 5, 2013
- 8,217
- 7,255
Ngoja vikosi vitiifu vya jeshi vijitwalie vinywaji uokozi baadae nimepita njia hiyo saizi alooo ajali bongo ni neeema aisseeeeee
Acha kuwadhalilisha makamanda wetu bwana,unafikiri wanajeshi ni watu wa hovyo hovyo wa kufakamia maiti za soda?
Acha kuwadhalilisha makamanda wetu bwana,unafikiri wanajeshi ni watu wa hovyo hovyo wa kufakamia maiti za soda?
Jeshi letu ni imara sana nimelisifu kwa uokozi ajali tu mbio kwa dereva kuokoa nimeipenda natamani wangekuwepo kwenye barabara zote za tanzsnia hizi sjali zxingepungua kwa kweli, big up makamanda wetu