-search MOROGORO: Ajali mbaya, Bus limegonga treni, Mwanafunzi 1 afarikiMimi mwenyewe nliiskia asubuhi but sikuwa na right info nikategemea nikute nyuzi humu
Nimeona ahsante ila wanafunzi walikuwa ni wa mjimpya na sio kayenzi
Itakuwa wewe tu wengine tumeyaonaKuna ajali mbaya sana iliyohusisha coaster na treni pale masika morogoro Leo asubuhi ....sijaona bandiko lolote humu kuhusu hilo tukio
Ni moja ya Wilaya mpya katika mkoa wa Morogoro,ingawa wengi hudhani iko Dodoma.Gairo ndio ipo Mkoani Morogoro eee!!
Hata mimi nilikuwa najua ipo Dodoma!Ni moja ya Wilaya mpya katika mkoa wa Morogoro,ingawa wengi hudhani iko Dodoma.
Sent using Jamii Forums mobile app
Amen....[emoji120]
Lipo tangu asubuhi na picha zimewekwa Mpwa. Ila leo tu kumetokea ajali tatu Morogoro nimeona nyingine imeripotiwa sasa hivi usiku huu humu humu basi limepinduka MlimaniKuna ajali mbaya sana iliyohusisha coaster na treni pale masika morogoro Leo asubuhi ....sijaona bandiko lolote humu kuhusu hilo tukio