Ajali: Basi la 'Kiazi Kitamu' limepinduka Monduli, Arusha

Ajali: Basi la 'Kiazi Kitamu' limepinduka Monduli, Arusha

Chachu Ombara

JF-Expert Member
Joined
Dec 11, 2012
Posts
6,163
Reaction score
11,230
Basi liitwalo Kiazi Kitamu limepinduka eneo la Monduli, Arusha leo asubuhi.

Hakuna vifo au majeruhi walioripotiwa.

DE6uj0CXcAAR2Dg.jpg
 
Daah mzimu wa ajali umeanza kutuandama tena.

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Ajali hii imechukua maisha ya jamaa yetu mmoja anayeitwa Amin Mero.

Tunamzika leo huku kwao Mkoa wa kilimanjaro, wilaya ya Moshi vijijini, kijijini MDAWI.

Ni yeye tu aliyefariki kwenye hii ajali.

Lala Salama Mero.
 
Ajali hii imechukua maisha ya jamaa yetu mmoja anayeitwa Amin Mero.

Tunamzika leo huku kwao Mkoa wa kilimanjaro, wilaya ya Moshi vijijini, kijijini MDAWI.

Ni yeye tu aliyefariki kwenye hii ajali.

Lala Salama Mero.
Wangapi walipoteza maisha kwenye ajali hiyo?
 
Basi liitwalo Kiazi Kitamu limepinduka eneo la Monduli, Arusha leo asubuhi.

Hakuna vifo au majeruhi walioripotiwa.


Amin Mero amefariki katika ajali tajwa, RIP Mero, vipi bus lilikuwa linatoka wapi na kwenda wapi mleta uzi
 
YANAKIMBIA................ MENGINE YANAENDA KIGOMA ,.............
 
Back
Top Bottom