Chachu Ombara
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 6,163
- 11,230
Basi liitwalo Kiazi Kitamu limepinduka eneo la Monduli, Arusha leo asubuhi.
Hakuna vifo au majeruhi walioripotiwa.
Hakuna vifo au majeruhi walioripotiwa.
Poleni kwa msiba huu mzito.Ajali hii imechukua maisha ya jamaa yetu mmoja anayeitwa Amin Mero.
Tunamzika leo huku kwao Mkoa wa kilimanjaro, wilaya ya Moshi vijijini, kijijini MDAWI.
Ni yeye tu aliyefariki kwenye hii ajali.
Lala Salama Mero.
Wangapi walipoteza maisha kwenye ajali hiyo?Ajali hii imechukua maisha ya jamaa yetu mmoja anayeitwa Amin Mero.
Tunamzika leo huku kwao Mkoa wa kilimanjaro, wilaya ya Moshi vijijini, kijijini MDAWI.
Ni yeye tu aliyefariki kwenye hii ajali.
Lala Salama Mero.
Ni mmoja tu.Wangapi walipoteza maisha kwenye ajali hiyo?
Alifariki mtu mmoja.afadhali hakuna aliyefariki ilo jina la gari![]()
Poleni sana aisee.Ni mmoja tu.
Asante kaka.Poleni sana aisee.
MmmmhNi mmoja tu.
Basi liitwalo Kiazi Kitamu limepinduka eneo la Monduli, Arusha leo asubuhi.
Hakuna vifo au majeruhi walioripotiwa.
Aisee mbona umeadimika sana?Asante kaka.