Tujadiliane hapa kidogo. Inakuwaje gari liana toka Mbeya kwa safari ndefu ya kilometa zisizopungua 800 bila kuwa hata na tairi la dharura? Gari limeegeshwa Msamvu, yapata saa Moja sasa na hakuna ufumbuzi wowote. Je, utoshelevu wa vifaa vya gari si sehemu ya ukaguzi wa kila siku wa jeshi la polisi kitengo cha usalama barabarani hasa kwa gari za abiria kabla yakuanza safari?