Ajabu: Pamoja na Mvua zinazonyesha, leo Dar haina foleni

Queen V

JF-Expert Member
Jan 19, 2012
775
1,330
Heshima kwenu wakuu,

Leo nmezunguka sehemu nyingi hapa dar es salaam, nlichoona kama maajabu ni kwamba hakuna foleni tuliyoizoea.

Mvua inanyesha lakini foleni inatembea. Sijajua nini sababu.

Haijawahi kutokea tangu Magufuli awe Rais.
cecd8bbffa85b8ca46b3f136864f1da4.jpg
e6e29dba30a84d98040192e7e2f0dca6.jpg
5f6be880db1bf5b1e66caf4ec1aaa65b.jpg

1016071aae744c807b470cca36ea3af9.jpg
 
Hujua magari ya mikoani ndio huwa yanaleta foleni,..! njia zao nyingi zimeharibika kwa mvua ndio maana unaona hakuna foleni njia za kuingia dar hakuna.
 
Heshima kwenu wakuu,

Leo nmezunguka sehemu nyingi hapa dar es salaam, nlichoona kama maajabu ni kwamba hakuna foleni tuliyoizoea.

Mvua inanyesha lakini foleni inatembea. Sijajua nini sababu.

Haijawahi kutokea tangu Magufuli awe Rais.
cecd8bbffa85b8ca46b3f136864f1da4.jpg
e6e29dba30a84d98040192e7e2f0dca6.jpg
5f6be880db1bf5b1e66caf4ec1aaa65b.jpg

1016071aae744c807b470cca36ea3af9.jpg
bado unazurura? fanya kutuma na picha za jioni hii tuone
 
Back
Top Bottom