DuaZaMama
JF-Expert Member
- Jun 2, 2025
- 1,882
- 4,129
Golikipa wa timu ya taifa ya Tanzania taifa stars zamani Simba Sc Amejiunga na timu yake ya Zamani Azam FC Kwa mkataba wa miaka 3, Aisha anaondoka Simba baada ya kukosa namba mbele ya Spider man Mousa Pinpin Camara.
Je? Manula anaweza kurejea kwenye ubora wake.
Je? Manula anaweza kurejea kwenye ubora wake.