Alonso14
JF-Expert Member
- Aug 6, 2017
- 1,785
- 1,817
Akili ndogo ndyo maana huolewiNimeswali
Akili ndogo ndyo maana huolewiNimeswali
Akili ndogo ndyo maana huolewi
Hapo umefeli maana nilishaga muua kitambo tuNtaolewa na baba ako akifikisha miaka 76 uke wenza dili siku izi navizia mafao yake
Mambo
Leo huko jukwaa la wakubwa wanasemaje
Hapo sasa tumeanza kwenda sawa
Lakin mimi lengo langu ni kuchapa na kusepa
piga baba piga na hilo neno "nitakuoa"usiliondoeMary baby ukiwambia ukweli wanakuchuna hela na kusepa
Lakin ukimwambia kuwa nitakuoa hata hela anakuwa haombi hivyo ni kukipigia usiku na mchana
Hata kama ukimuita gheto anakuja fasta si anajua ataolewa
Me nikishamega z enough,nifuge nipate nn kama sio pesa kupotea?Kumla siyo shida, kumantain uhusiano naye ndiyo shida.
Labda kuwe na mwanaume mwingine anayehudumia.
Huna pesa umantain ili iwaje,,kutokea mpya ni nafuu in terms of cost cutting kuliko kimaintain has a mabintiKuna baadhi ya products huwezi kutosheka kula mara moja, na ukisha kula hutaki wenzio wapite.
Ndo hapo sasa inabidi kumaintain na hela lazima itumike.
Mfano mmoja ndio huuheeeeh!hv kuna watu haadi leo wanatongoza wanaweke?