Rihana
JF-Expert Member
- Apr 26, 2013
- 498
- 250
Toka jana vocha haziingii walituma ujumbe mfupi eti tuweke kwenye Airtel money...leo nimeingia Airtel money kununua salio inaniambia system is busy...sijaona tangazo lolote kwenye vyombo vya habari wakiomba radhi...hiki kiburi wanatoa wapi? Au ni njama ya kutaka wateja waingie kwenye huduma ya Airtel money ambayo imedorora??natamani nimtukane tusi la nguoni huyo MD wao mhindi ila Mod atanimaliza kwa kweli inakera sana PUM''BU!
Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums