wanaolalamika speed mi siwaelewi mi mbona kwangu iko fasta...halafu mi naona ndio mtandao ulio cheap ...i.e kwa tsh 600/= napata 500mbs raha gani hii..........
Wewe ndiye uliyeko huko ulikokutaja. Ndio maana hujui hata spidi ya net ni nini. Sizungumzii hicho unachoweza ku surf kutumia kiji Nokia tochi au ki Samsung cha inchi mbili. Nazungumzia serious web usage
Wewe ndiye uliyeko huko ulikokutaja. Ndio maana hujui hata spidi ya net ni nini. Sizungumzii hicho unachoweza ku surf kutumia kiji Nokia tochi au ki Samsung cha inchi mbili. Nazungumzia serious web usage
Sasa serious ndio utegemee internet za simu ya mkononi? Inaonekana we ni mshamba kwenye haya mambo bora tu ukae kimya,angalia kwenye hii thread yote wangapi wamekubali speed ya net ya Airtel halafu urudi tena kucomment.