Airtel nafungua kesi mahakamani

ngomaxtz

Member
Joined
Jun 6, 2025
Posts
43
Reaction score
62
Ipo ivi nilikua nachati na mrembo wangu ivi vitoto vya 2000 usiulize umri wangu (sio mada ya leo) sasa yeye hana simu anatumia ya baba yake iyo ni siku zote tunawasiliana ivyo Bado mwanafunzi tumechati vingi sana sms ya mwisho nikamwambia tukutane Kwa mangi apo saa Moja jioni ,

Mtandao ukaaza kusumbua riport inarudi masaa mawili yamepita harafu namuona dingiyake anapita apa kijiweni ananikata jicho Kali sana bila salamu alafu ananiitaga ostadhi apa nilipanga niende Kwa Abdala niazime gheto naofia kufumwa na mwanafunzi, Airteli mnazingua,
 
Shule inafunguliwa lini?
 
Kwa hilo nitajitolea kuwa wakili wa utetezi dhidi ya Airtel.
 
Siungi mkono nia yako ila eatel kidogo wana usumbufu
 
Shule zifunguliwe tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…