Airtel - Mtufikirie wateja wenu kwa hili!!

Airtel - Mtufikirie wateja wenu kwa hili!!

BIG X

JF-Expert Member
Joined
Nov 4, 2011
Posts
777
Reaction score
212
Wengi tumezoea kuingia yatosha. Lakini utakuta muda wa maongezi umeisha lakini MB za Internet hujatumia hata kidogo. sasa kwavile nakuwa nahitaji tena muda wa maongezi inabidi niingie yatosha tena. Nikiingia tena zile MB za awali zinafutika kabisa, sasa huwa zinaniumaga sana. Kwanini hizo MB zisijumlishe kwenye kifurushi kipya. Airtel yetu tunaipenda, mtusaidie kwenye hili.
 
Back
Top Bottom