PRISCUS JR
JF-Expert Member
- Oct 3, 2011
- 448
- 236
Nimekuwa mtumiaji mzuri wa vifurushi vya airtel na nimewashawishi ndugu rafiki wengi kuhamia mtandao huu kutokana na huduma nzuri ila leo nimeumia sana naamka asubuhi kujiunga na na kifurushi cha sh 5999 ambacho ni wiki nzima yenye dakika 200 sms nyingi tu sikumbuki kwakuwa si mpenzi wa sms, 2gb za internet ndicho kivutio kabisa.
Nimeshangaa eti wamebadiri tena bila taarifa dakika 135 , sms 1000 hazina maana kibaya zaidi net ni 500mb! hivi kweli mmeaza tabia za washindani wenu ambao nao baada ya kuanza kupoteza wateja wamejirekebisha!
Nawaambia kama niliwajenga hata kuwabomoa naweza, kuna mtandao mpaka leo wananiomba walau niweke mia nimegoma na line iko hewani tu
Mjirekebishe la sivyo tutaharibiana kaeni mfikirie upya efu sita ni pesa nyingi sana acheni utani.
Nimeshangaa eti wamebadiri tena bila taarifa dakika 135 , sms 1000 hazina maana kibaya zaidi net ni 500mb! hivi kweli mmeaza tabia za washindani wenu ambao nao baada ya kuanza kupoteza wateja wamejirekebisha!
Nawaambia kama niliwajenga hata kuwabomoa naweza, kuna mtandao mpaka leo wananiomba walau niweke mia nimegoma na line iko hewani tu
Mjirekebishe la sivyo tutaharibiana kaeni mfikirie upya efu sita ni pesa nyingi sana acheni utani.