saviormbele
Member
- Mar 24, 2013
- 7
- 0
Wadau! Nimeona kuna tatizo la msingi toka airtel juu ya kuuzwa namba za wateja kiholela. Sina hakika ni kwa muda gani ukiwa off line unapaswa kufungiwa na namba kupewa mtu mwingine. Nilichokeexperience ni kwamba usipotumia namba yako ya airtel kwa muda inauzwa mara! Imetokea kwangu na kwa marafiki wangu wa karibu kama watano hv!!! sijui kwa yeyote wa JF. Shaka langu kubwa ni juu ya usajili wa taatifa zetu kule. mtumiaji mpya huenda akajinasibu kwa jina awali. ndivyo ambavyo wengine hujitambulisha. Je hili tatizo linajulika makao makuu yao au Tcra! Wadau hii inakaaje?