Airtel Inakera

saviormbele

Member
Joined
Mar 24, 2013
Posts
7
Reaction score
0
Wadau! Nimeona kuna tatizo la msingi toka airtel juu ya kuuzwa namba za wateja kiholela. Sina hakika ni kwa muda gani ukiwa off line unapaswa kufungiwa na namba kupewa mtu mwingine. Nilichokeexperience ni kwamba usipotumia namba yako ya airtel kwa muda inauzwa mara! Imetokea kwangu na kwa marafiki wangu wa karibu kama watano hv!!! sijui kwa yeyote wa JF. Shaka langu kubwa ni juu ya usajili wa taatifa zetu kule. mtumiaji mpya huenda akajinasibu kwa jina awali. ndivyo ambavyo wengine hujitambulisha. Je hili tatizo linajulika makao makuu yao au Tcra! Wadau hii inakaaje?
 
Tatizo hatuna mikataba rasmi ya kutumia mitandao yao.
 
kuna siku muhindi au mwarabu mwanamke alinipigia simu nilishangaa kuona incoming call inafanaba no no yangu kupokea ni sauti ya mmama tukasalimiana yakaisha bila kueleza shoda yake baada ya kutafakari kutofautiana kwa code no zetu nikapata jibu kuwa alikua anataka kutengeneza no kama yake ila kwa code yangu .


Mungu mkubwa laiti ningekua siko hewani ilishakula kwangu.
 
Wanapaswa kujali wateja wao. ni vyema
wangekuwa wanatangaza namna muda wa kumiliki laini

Niliwahi kusikia kuwa hapa nchini kuna chama cha walaji (Consumers' association), kama wapo kweli wanapaswa kutoa mchango mkubwa...ili tupate mikataba rasimi ya kutumia mitandao ya simu, umeme, maji, nakadhalika. Ili mtoa huduma ama mlaji hasipotimiza wajibu wake awajibishwe haraka sana.
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…