Airtel call centre na wizi wa hela za watu

Airtel call centre na wizi wa hela za watu

VANCOUVER

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2014
Posts
336
Reaction score
20
Ndugu Jaffari khamis mwenye namba 0755970051 na 0785100769 akishirikiana na baadhi ya wafanyakazi wa Airtel call centre wamekua na tabia ya kuchukua hela za watu zinazobaki kwenye simu.

Tukio jingine limetokea hii leo muda mfupi uliopita.

Chukueni hatua za tahadhari juu ya wizi huu maana napiga huduma kwa wateja na hakuna msaada wowote unaopatikana.
 
Fafanua, wanachukuaje?
Unakuta umeweka vocha yako labda ya 1000 ukaongea kwa labda shs 400 ile 600 iliyobaki wanachukua tena unashtukia haipo. Ukipiga simu upate msaada hawapokei simu yako
 
Unakuta umeweka vocha yako labda ya 1000 ukaongea kwa labda shs 400 ile 600 iliyobaki wanachukua tena unashtukia haipo. Ukipiga simu upate msaada hawapokei simu yako
ni mara kadhaa wamekua na tabia hii
 
Mi nilijiunga airtime ya elfu 30 nikabak na crdt ya elfu 20 ajabu ile elf 20 cjui ilipoteaje ila mda niliojiunga bado upo mpaka sasa kwa kwel nimepiga cm huduma kwa wateja nikakatiwa simu
 
Mi nilijiunga airtime ya elfu 30 nikabak na crdt ya elfu 20 ajabu ile elf 20 cjui ilipoteaje ila mda niliojiunga bado upo mpaka sasa kwa kwel nimepiga cm huduma kwa wateja nikakatiwa simu

Hili sio la kufumbia macho hata kidogo.
 
lorin.Gabriela na Rodrick Alexander nna mashaka na nyinyi nazani nyie ni kati ya wafanyakazi wa mojawapo ya kampuni ya simu au mnaelewa jinsi gani mchezo mzima unavoenda
 
Back
Top Bottom