Airtel babalao

Kuna kifurushi kinaitwa Combo unapata dakika za kutosha na MB za kutosha.
Mfano mi napata dakika 550 mitandao yote GB 6 na SMS 500 mwezi mzima kwa shilingi 10,000/= tu.
Mambo ni motoooo
 
Kweli hawa wako vzr kuliko tigo,voda na nk,mi naunga kifurushi cha 1000 siku 3 napata Gb 1 ya kweli sio zile Gb za uongouongo km voda unaangalia video tatu youtube eti kifurushi kinakata


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nmetoka kulipia DSTV bila makato yoyote.
Airtel ni babalao
 
Tabasamu na GB10 kwa Tsh10,000 tu, kuperuzi upendavyo mwezi mzima. Piga *149*99# chagua 5 kisha Mwezi kujiunga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ