kingphisher
Senior Member
- Nov 30, 2024
- 119
- 226
Wakuu habarini za wakati huu, ninahitaji router ya Airtel, kuna nyingi nimeona zinauzwa 110,000.
naomba mnijuze mambo yafuatayo.
je, hiyo 110,000 ni bei ya router(device) au ni ya vifurushi?
japo sina uhakika, nimesikia eti kuna hizo routers ambazo vifurushi vyake ni 70,000/= kwa mwezi.
naomba mnijulishe wakuu.
nataka router ya 10mbp/s.
au kama kuna mtu anaweza kunipa full details na uchanganuzi wake, naomba anisaidie.
nahitaji router nina laki moja.
naomba mnijuze mambo yafuatayo.
je, hiyo 110,000 ni bei ya router(device) au ni ya vifurushi?
japo sina uhakika, nimesikia eti kuna hizo routers ambazo vifurushi vyake ni 70,000/= kwa mwezi.
naomba mnijulishe wakuu.
nataka router ya 10mbp/s.
au kama kuna mtu anaweza kunipa full details na uchanganuzi wake, naomba anisaidie.
nahitaji router nina laki moja.