Mpinzire
JF-Expert Member
- Jan 18, 2013
- 7,223
- 12,943
Shirika la ndege la Tanzania (ATCL) Imekanusha taarifa zinazosambaa mitandaoni kuwa imesitisha safari zake wilayani Chato.
Ikumbukwe sio mara ya kwanza kuibuka kwa minong'ong'ono kama hii kuwa airtanzania inasitisha safari zake Chato, huko nyuma kuliwahi kuibuka picha za uwanja wa ndege wa chato ukidaiwa kuwa na nyufa, pia Chato imekumbwa na kashfa mpaka ya Bank ya CRDB kufunga tawi lao na baada CRDB walikanusha taarifa hizo kuwa sio za kweli na bado wanaendelea kutoa huduma Wilayani humo.
View attachment 2192171
Sent using Jamii Forums mobile app
Ikumbukwe sio mara ya kwanza kuibuka kwa minong'ong'ono kama hii kuwa airtanzania inasitisha safari zake Chato, huko nyuma kuliwahi kuibuka picha za uwanja wa ndege wa chato ukidaiwa kuwa na nyufa, pia Chato imekumbwa na kashfa mpaka ya Bank ya CRDB kufunga tawi lao na baada CRDB walikanusha taarifa hizo kuwa sio za kweli na bado wanaendelea kutoa huduma Wilayani humo.
View attachment 2192171
Sent using Jamii Forums mobile app