second in commander
Member
- Feb 9, 2021
- 6
- 16
Shirika la ndege la Tanzania limesema linaongeza safari za ndege kwenda na kutoka Bukoba na sio Chato kwa kuwa safari za Chato hazina faida.
Msemaji wa ATCL amesema safari hizo hazina abilia wala mizigo hivyo ni safari zisizo na faida ,naona wameanza kumsaliti Magufuli kabla hata 40 bado.
=====
Shirika la Ndege Tanzania (ATCL), limekanusha habari zinazosambaa kwamba imesema Safari za Chato hazina faida.
Msemaji wa ATCL Josephat Kagirwa, amekanusha kuongea na Chombo chochote cha habari kuhusu safari za ndege.
Amewataka wananchi kupuuza huo uzushi.
Msemaji wa ATCL amesema safari hizo hazina abilia wala mizigo hivyo ni safari zisizo na faida ,naona wameanza kumsaliti Magufuli kabla hata 40 bado.
=====
Shirika la Ndege Tanzania (ATCL), limekanusha habari zinazosambaa kwamba imesema Safari za Chato hazina faida.
Msemaji wa ATCL Josephat Kagirwa, amekanusha kuongea na Chombo chochote cha habari kuhusu safari za ndege.
Amewataka wananchi kupuuza huo uzushi.