Tatizo geshi la polisi limezidi usanii na kupenda camera, ukiona kwenye taarifa za habari jinsi kikosi maalumu cha Afande (-) anavyoendesha msako wake huko ukerewe, utatamani kucheka!!
Watu wamevamia kisiwa almost wiki 2 zimepita, leo wanafanya msako na helkopta!! Na wakibahatika kukamata wazururaji na vibaka mjini, basi wanaitisha mkutano na vyombo vya habari kwamba 'geshi la polisi limejidhatiti kukabiliana na majambazi'!!
Wenye akili wanaona usanii huu. Polisi acheni kuhukumu watu, kabla mahakama haijaamua kama watuhumiwa ni majambazi ama la!!!!!!!