Maxmizer
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 4,799
- 4,230
inamaana hunijui mme mwenzaNilikuwanae dizaini iyo,,nilimgonga Rafiki yake,,akaniambia na yeye lazima ampe nyama Rafiki yangu yoyote,,,sa sijui alimpa swahiba wangu yupi nyama
inamaana hunijui mme mwenzaNilikuwanae dizaini iyo,,nilimgonga Rafiki yake,,akaniambia na yeye lazima ampe nyama Rafiki yangu yoyote,,,sa sijui alimpa swahiba wangu yupi nyama
Aisee..hizo aina ndio naziona leoWe hauhusiki!?
Bado unae mpk sasa!?? Vp ulijisikiaje alipokwambia hvo!?Nilikuwanae dizaini iyo,,nilimgonga Rafiki yake,,akaniambia na yeye lazima ampe nyama Rafiki yangu yoyote,,,sa sijui alimpa swahiba wangu yupi nyama
Wako hayupo hapo Kweli!?? Soma vzrBasi hizo hazitoshi ongeza na zingine......maana hata yangu hapo haipo😛😛
Naendelea soon nitaleta nikikamilishaUmemaliza? Haya tuletee na aina au makundi ya wanaume...mnachosha na thread zenu za kutuongelea kila siku.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo maishaAcha story za vijiwen
Hujawahi ona ambaye anafiti humo!?Aisee..hizo aina ndio naziona leo
Usijali nitakuleteaUtuletee na makundi ya wanaume tafadhali
Hapo si umetaja aina za wanawake......wangu yupi ambae hayupo?........au unajua mimi mwanaumeWako hayupo hapo Kweli!?? Soma vzr
Kwa jamii...ni prouduct ya uzoefuUmetoa wapi haya makitu?
Ulimaanisha haupo katika hayo makundi!? Amini umo soma upya jitafakar piaHapo si umetaja aina za wanawake......wangu yupi ambae hayupo?........au unajua mimi mwanaume
WAPOHujawahi ona ambaye anafiti humo!?
Mimi ndo nimeshasema sipo labda utaje mengineUlimaanisha haupo katika hayo makundi!? Amini umo soma upya jitafakar pia
Nilichukulia poa tu Mkuu, , uzuri siponae sasaiviBado unae mpk sasa!?? Vp ulijisikiaje alipokwambia hvo!?