AICC hospital

AICC hospital

Typical Tanzanian!!
Iko wp hyo?? na kwa nin usiwaambie hapohapo laiv?? huku unataka msaada gan labda??
 
Nawaatarifu watz wenzangu.. Na kuwachana live nshawapa kubwa
 
Nawaatarifu watz wenzangu.. Na kuwachana live nshawapa kubwa

Mi ni shahidi yako hii hosp ni noma..inshort kwa sisi ambao ndo tunaitegea inachukua masaa mawili kujishauri kupita hosp..kwenye dawa ndo usiseme foleeni then hawajali kabisa kubuni mbinu za kuondoa watu chap chap ukienda utashinda hosp siku nzima...sometimes hata ma Dr kama hawako serious pia..nadhani wanatafuta cheapest Drs maana ni visista duu tu vinakuuliza ugonjwa huku vikismile kwenye screen ukipata chance ya kuchungulia kumbe yuko kwenye Fb loh
 
Kumbe umeona nimekutana na dokta hataki atakuniangalia anaongea Tu na simu yaani majanga!!!!
 
mi nilishaachaga kwenda hapo AICC...wapuuzi sana... atleast kidogo kwa dr Mohamed ingawa nao sometimes ni wazembe
 
Arusha tuna shida kubwa ya hospitali zenye kutoa huduma kwa haraka..ila AICC ndio kiboko yao,kweli kuna tumama pale reception tunajibu nyodo sana mpaka inaboa...siku mmoja nikaenda kumpeleka kijana wangu pale angalau apate huduma za kitabibu,
nafika tu reception,lahaula lakwata... hata sijafungua mdomo kutoa salam,naskia ya nyodo na misonyo ya hapa na pale''sipokei tena mtu asie na kadi mnatuchosha bwana kutafuta mifaili yenu'' anamwambia mtu mmoja kwenye foleni in a generic form....kimama kimoja ivi kibayabaya... kiliniudhi..

Sasa next day si kikaja ofisini kwangu kwa ajili ya mambo yake private...hahahaha kilitamani ardhi ipasuke...kilikutana na uso wa kauzu!!!
 
Watu wenyewe Ata hawajui kutumia comp cjui ni uzembe au kukosa elimu hii hospital siji tena.!!
 
mi nilishaachaga kwenda hapo AICC...wapuuzi sana... atleast kidogo kwa dr Mohamed ingawa nao sometimes ni wazembe

wale ni wezi wa pesa tu ... kwa kifupi hamna hospital arusha......full stop.
 
uliza dr. lweno niko room na 3. njoo nikutibu

asante sana ila me ndo nasepa acheni kuajiri maduu mnafaa kuangalia hili swala au mtakosa wateja..
 
Nendeni Mt Meru........huduma ni nzuri na kuna madaktari waliobobea.....
 
Arusha tuna shida kubwa ya hospitali zenye kutoa huduma kwa haraka..ila AICC ndio kiboko yao,kweli kuna tumama pale reception tunajibu nyodo sana mpaka inaboa...siku mmoja nikaenda kumpeleka kijana wangu pale angalau apate huduma za kitabibu,
nafika tu reception,lahaula lakwata... hata sijafungua mdomo kutoa salam,naskia ya nyodo na misonyo ya hapa na pale''sipokei tena mtu asie na kadi mnatuchosha bwana kutafuta mifaili yenu'' anamwambia mtu mmoja kwenye foleni in a generic form....kimama kimoja ivi kibayabaya... kiliniudhi..

Sasa next day si kikaja ofisini kwangu kwa ajili ya mambo yake private...hahahaha kilitamani ardhi ipasuke...kilikutana na uso wa kauzu!!!


Mkubwa hapa umenena kabisa! Na cjui nini chanzo ya gonjwa hili kabisa!
 


Bonge la Dr huyu Lweno,kahamia Dar naskia...he was one among staff waliokuwa wanaibeba hii excuse of a hospital!

kweli kabisa mkuu nilikua nampenda sana jamani vizuri tuvisifie niliandika vile ili nisikie mtasemaje....
 
Nendeni Mt Meru........huduma ni nzuri na kuna madaktari waliobobea.....

mabrazamen na masista du wanaopenda usharobaro!badala ya kwenda kaloleni au levolosi wao wanaenda kubanana kwenye dispensary ya AICC
 


Bonge la Dr huyu Lweno,kahamia Dar naskia...he was one among staff waliokuwa wanaibeba hii excuse of a hospital!

Mabilionea wa Arusha hela yao haionekani kwenye mzunguko ndio maana wataalam wanawakimbia.

Mabilionea wanasikika kwenye misiba yao tu!!!
 
Back
Top Bottom