kelvin miho
JF-Expert Member
- Dec 9, 2016
- 281
- 134
- Thread starter
-
- #21
Kwan mvulana na mwanaume mwapishana nin kuna inaesimama kurud nyuma? Tuliza naniliu zako hukooo mama akukune"Nina wasiwasi na uanaume wako huenda ni mvulana"
Mkuu hiyo ya kubaka mke inaweza kuwa mvulana.
Endelea kua na was was ka wasafir wa ndege kwamba watafika salamaDogo husomeki "Nina Mashaka na uanaume wako"
NB.. Maisha hayana kanuni.
[emoji123][emoji123]Namba nane!headacke kwa wadada..
[emoji106][emoji106][emoji106][emoji106]utunzi mzuri sana
[emoji106][emoji106][emoji106][emoji106]Imechoma kama pasi
Namba kumi umetisha sana!!Na bado Unajiita mwanaume....
1. Umempa mimba mara tatu mwanamke wako, mara zote umemshinikiza azitoe halafu unamuacha, unaenda kuoa mwanamke mwingine. Halafu bado unajiita mwanaume.
2. Unamnyanyasa na kumpiga mkeo, unamdahrau mbele ya vinuka mkojo vyako. Halafu bado unajiita mwanaume.
3. Unambaka mwanamke na unadai unampenda sana. Halafu bado unajiita mwanaume.
4. Unalala na binti yako, eti kwa sababu umeona kifua kimechanua. Halafu bado unajiita mwanaume.
5. Una nyumba mbili na wake wawili. Na hakuna hata mmoja kati yao anaejua uko na mwanamke mwingine wa tatu. Na bado unajiita mwanaume.
6. Umepokea mshahara wako, unatumia kwenye pombe, sigara, wanawake na huachi kitu kwa mkeo. Na bado unajiita mwanaume.
7. Unaingia katika mahusiano, kwa ajili tu ya kumtumia huyo msichana kumkomoa mwanamke uliyekua unampenda. Na bado unajiita mwanaume.
8. Unamlazimisha mwanamke ngono kwa kutumia mamlaka yako aitha kielimu, kisiasa, kidini na pesa ulizonazo. Na bado unajiita mwanaume.
9. Unafanya ngono na mdogo wa mke wako, na unamwambia unatamani ungemuoa yeye. Na sasa ana ujauzito wako. Halafu bado unajiita mwanaume.
10. Unatembea huku suruali ipo katikati ya makalio, unatembea unanesa kama umekatika centre bolt, unatembea na selfie stick, uandishi wako ni wa 'Xaxa', 'xoxo', 'K' , unaongea huku unajiramba midomo na kurembua macho, umejiunga na team zari na team wema, siku nzima upo IG kutukana matusi ya nguoni. Halafu unajiita mwanaume.
Ninao wasiwasi na uanaume wako, huenda ni mvulana....
[HASHTAG]#SeeYouAtTheTop[/HASHTAG]
[emoji106][emoji106]Namba kumi umetisha sana!!
Sababu ya unyoko nyoko nyoko wanaoufanyaDuuuuh kwann mkuuu
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] ya kwanza had tatu nimezipendaNa bado Unajiita mwanaume....
1. Umempa mimba mara tatu mwanamke wako, mara zote umemshinikiza azitoe halafu unamuacha, unaenda kuoa mwanamke mwingine. Halafu bado unajiita mwanaume.
2. Unamnyanyasa na kumpiga mkeo, unamdahrau mbele ya vinuka mkojo vyako. Halafu bado unajiita mwanaume.
3. Unambaka mwanamke na unadai unampenda sana. Halafu bado unajiita mwanaume.
4. Unalala na binti yako, eti kwa sababu umeona kifua kimechanua. Halafu bado unajiita mwanaume.
5. Una nyumba mbili na wake wawili. Na hakuna hata mmoja kati yao anaejua uko na mwanamke mwingine wa tatu. Na bado unajiita mwanaume.
6. Umepokea mshahara wako, unatumia kwenye pombe, sigara, wanawake na huachi kitu kwa mkeo. Na bado unajiita mwanaume.
7. Unaingia katika mahusiano, kwa ajili tu ya kumtumia huyo msichana kumkomoa mwanamke uliyekua unampenda. Na bado unajiita mwanaume.
8. Unamlazimisha mwanamke ngono kwa kutumia mamlaka yako aitha kielimu, kisiasa, kidini na pesa ulizonazo. Na bado unajiita mwanaume.
9. Unafanya ngono na mdogo wa mke wako, na unamwambia unatamani ungemuoa yeye. Na sasa ana ujauzito wako. Halafu bado unajiita mwanaume.
10. Unatembea huku suruali ipo katikati ya makalio, unatembea unanesa kama umekatika centre bolt, unatembea na selfie stick, uandishi wako ni wa 'Xaxa', 'xoxo', 'K' , unaongea huku unajiramba midomo na kurembua macho, umejiunga na team zari na team wema, siku nzima upo IG kutukana matusi ya nguoni. Halafu unajiita mwanaume.
Ninao wasiwasi na uanaume wako, huenda ni mvulana....
[HASHTAG]#SeeYouAtTheTop[/HASHTAG]
Ndo hvoSababu ya unyoko nyoko nyoko wanaoufanya
Balaaa tupuHiyo point ya 10 bhnanaaa
Ukumbuke akili zao tumezishika mkononi upepo ukienda huku wapo kule wapoAibu yako wewe mwanamke unashauriwa kutoa mimba kwa mara ya tatu mfululizo na wewe unatoa. Halafu unajiita mwanamke, utakua Mbweha.
Ok mkuu[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] ya kwanza had tatu nimezipenda
Sawa mkuuAya hii imewafikia inayowahusu,,
Aibu zao kwa kweli,,,