Tatizo Lililokukuta Limenikuta Pia Mimi Jumatutu,Nilikunywa Kwa Starehe Mapema Tu Nkarejea Home,Ila Home Wife Hayupo So Nkaona Nipo Bored,Nkatoka Nkakutana na Washkaji,Nikabwia-nikabwia Nikaamua Kurudi Home Mapema Tu,Kimbembe Kikaanzia Hapa,Ili Nifike Magetoni Kuna Ngazi Za Kupanda,Ndugu Yako Ngazi Nkawa Nazipanda Nakushuka,Yani Nkikaribia Ya Mwisho Nateleza Naanza Upya,Na Ni Hatua 5 Tu Nabakiza Kufikia Mlango Wangu,Basi Nkapanda Shuka Nkaona Isiwe Tabu,Nkauchapa Happy Happy,Sasa Kumbe Yupo Mtu Alikuwa Ananisoma na Ni Wa Hapa Hapa Nyumbani ya Pili Toka Kwangu,Akampigia Simu Mzee Mwenye Nyumba,Me Nimepanga Gorofani Ye Anaishi Kwa Chini Ndo Mzee Kuja Kunipa Msaada.
Nakuja Kushtuka Ni Asubuhi,Nimechafuka Sina Hali.
Nini Nimeamua Kufanya,Nimeamua Kumkabidhi Yesu Maisha Yangu Na Nizaliwe Upya.
Kudhalilika Huku Imetosha.
Hivyo Nikushauri Nawewe Mwenzangu,Pia Tuwe Na Mawasiliano Kuulizana Tulipofikia.