malipesa2014
Member
- Jun 2, 2014
- 22
- 8
kuna uzi nilanzisha hapa week iliyoisha,,,watu walitoa malalamiko sana hapa
_nimeshidwa kuutafuta
~ulihusu huduma mbovu za mabank yote nchini,bank inaweka madrisha hadi nane ila mawili tu ndio yanafanya kazi
Heshima kwenu wakuu.
Kama kuna mabanker humu naomba wanisaidie ukienda bank nyingi hapa TZ hasa NMB, CRDB na NBC utakuwa foleni ni ndefu alafu madirisha ya teller yapo hadi 12 ila yanayofanya kazi ni 3/4 na hapo hapo hawaruhusu kuongea na simu ndani ya bank.
Huwa najiuliza sisi kupeleka pesa pale Bank sio manufaa kwa Bank hadi wameona sio muhimu kuongeza wahudumu au ni sisi wateja hatujui kudai haki zetu?
Naomba ufafanuzi kwani huwa napata hasira sana kukaa foleni Bank.
Foleni ndefu na dirishani kuna mtu mmoja tu! What a SHAME
Foleni ndefu na dirishani kuna mtu mmoja tu! What a SHAME
THREAD UANZISHE MWENYEWE USHINDWE KUIPATA.....
Bank kuwa na madirisha hadi 8 ila mawili tu ndio yanafanya kazi
Started by Marire, 12th August 2014 16:31
Tyta, hebu nisaidie na mimi ni born before computer. Unafanyaje kufukua uzi wa zamani uwe wa kwangu au wa mtu mwingine, pls.