kijazi07
JF-Expert Member
- Feb 14, 2016
- 1,030
- 2,168
Huwa nikiamka asubuh kujiandaa kwenda job nawashaga redio na connect bluetooth nasikiliza music huku najiandaa
Leo nimesahau kuswitch off redio nikaacha bluetooth on
Nipo kazini naona majiran zangu wawili wote wananitafuta kila mmoja kwa muda wake wakinambia nizime redio nasumbua na vitu ninavyo angalia mhh nilipata ugumu kuelewa sasa nimerudi muda huu naambiwa huu mkasa lol nimefedheheshwa sana
Kuna mtu ameconnect na bluetooth ya redio yang akawa anaangalia video chafu (porn) nadhan aliona sauti haitok kweny simu yake so alizid kuongeza sauti jmn jmn ninacho shukuru watto wa majiran walikuwa wameenda shule ila dahh nimevaa uso wa mbuzi hapa wachache sana ndo wanajua sikuepo ila wengine sijui wananionaje
Leo nimesahau kuswitch off redio nikaacha bluetooth on
Nipo kazini naona majiran zangu wawili wote wananitafuta kila mmoja kwa muda wake wakinambia nizime redio nasumbua na vitu ninavyo angalia mhh nilipata ugumu kuelewa sasa nimerudi muda huu naambiwa huu mkasa lol nimefedheheshwa sana
Kuna mtu ameconnect na bluetooth ya redio yang akawa anaangalia video chafu (porn) nadhan aliona sauti haitok kweny simu yake so alizid kuongeza sauti jmn jmn ninacho shukuru watto wa majiran walikuwa wameenda shule ila dahh nimevaa uso wa mbuzi hapa wachache sana ndo wanajua sikuepo ila wengine sijui wananionaje