Vege
JF-Expert Member
- Jul 5, 2016
- 338
- 365
Habari zenu wana jamvi,
Hali la jiji la Mwanza kwa upande wa miundombinu wanajitahidi kiasi ila wanasahau vitu vichache ambavyo ni vya msingi sana.
Jiji hili barabara zake kuu zote ni giza, zile taa za usiku zote hazifanyi kazi. Yaani ni kwamba ukipita usiku kwa sisi wananchi ni shida unakuwa unatembea kwa wasiwasi na ukizingatia mkoa huu unapiga watu nyundo, unachinja watu na matukio mengi ya ajabu.
Ningependa kuwakumbusha hawa wenye mamlaka husika walifanyie kazi suala hili kwa usalama wa wananchi ili kuepuka vibaka na matukio mengine ya ajabu.
Hali la jiji la Mwanza kwa upande wa miundombinu wanajitahidi kiasi ila wanasahau vitu vichache ambavyo ni vya msingi sana.
Jiji hili barabara zake kuu zote ni giza, zile taa za usiku zote hazifanyi kazi. Yaani ni kwamba ukipita usiku kwa sisi wananchi ni shida unakuwa unatembea kwa wasiwasi na ukizingatia mkoa huu unapiga watu nyundo, unachinja watu na matukio mengi ya ajabu.
Ningependa kuwakumbusha hawa wenye mamlaka husika walifanyie kazi suala hili kwa usalama wa wananchi ili kuepuka vibaka na matukio mengine ya ajabu.