Fortilo
JF-Expert Member
- Apr 10, 2012
- 5,890
- 17,746
Katika hali inayotia doa na pengine kutia aibu kubwa katika muhimili wa kusimamia demokrasia nchini ni hili la mwenyekiti wa tume ya taifa ya uchaguz Jaji Damian Lubuva kudai kuwa hawana ofisi, na wala mamlaka za uteuzi haziingilii uhuru wa tume.. Pamoja na mambo mengine amekiri haya akiwa anahojiwa kwenye kipindi cha dakika 45 cha ITV. Ni aibu kubwa kwa tume ya uchaguzi kukosa ofis kwa kipindi cha miaka zaidi ya ishirini hivi wakati tume ya katiba ya juzi na ambayo sio ya kudumu, ina kila aina ya facility.
my take: je hii ni mbinu inayotumiwa na watawala kuwanyongonyesha wateule wao ili wasiweze kutenda haki katika chaguzi nyingi zenye ushindani nchini? au ni zaidi ya hapo. Naomba wana JF tufikiri kwa pamoja
my take: je hii ni mbinu inayotumiwa na watawala kuwanyongonyesha wateule wao ili wasiweze kutenda haki katika chaguzi nyingi zenye ushindani nchini? au ni zaidi ya hapo. Naomba wana JF tufikiri kwa pamoja