Ahsante 2016

UrbanGentleman

JF-Expert Member
Jun 19, 2016
2,584
1,885
Binafsi nimejikuta nikiwajibika katika mambo mengi sana ila nimekua mtumishi mwaminifu sana katika serikali yangu

Nimekutana na mambo mengi sana na changamoto nyingi ila niishukuru 2016 katika mambo yafutayo sababu yote yametokea ndani yake

Kwanza nishukuru kwa hatua niliopiga katika kibarua changu cha kuitumikia serikali yangu ya nguvu na biashara zangu zimehimarika zaidi

Pili nishukuru kwa mchumba niliempata na mpaka wasaa huu nimefungua vikao rasmi vya harusi

Tatu nishukuru kwa kufanikisha jambo lililonitesa kwa muda mrefu ujenzi wa nyumba yangu na ata sasa nalaza ubavu wangu nyumbani kwangu.


Karibuni wakuu kama mna jambo lolote mlilofanikisha ndani ya 2016 binafsi kwangu umekua ni mwaka mtamu.
 
Binafsi nimejikuta nikiwajibika katika mambo mengi sana ila nimekua mtumishi mwaminifu sana katika serikali yangu

Nimekutana na mambo mengi sana na changamoto nyingi ila niishukuru 2016 katika mambo yafutayo sababu yote yametokea ndani yake

Kwanza nishukuru kwa hatua niliopiga katika kibarua changu cha kuitumikia serikali yangu ya nguvu na biashara zangu zimehimarika zaidi

Pili nishukuru kwa mchumba niliempata na mpaka wasaa huu nimefungua vikao rasmi vya harusi

Tatu nishukuru kwa kufanikisha jambo lililonitesa kwa muda mrefu ujenzi wa nyumba yangu na ata sasa nalaza ubavu wangu nyumbani kwangu.


Karibuni wakuu kama mna jambo lolote mlilofanikisha ndani ya 2016 binafsi kwangu umekua ni mwaka mtamu.

Hapo kwenye kamjengo nakupa bigup za ukweli! Hongera sana!
Kwangu mimi jambo moja kubwa sana ninalojivunia ni kupata nguvu za kusoma neno la Mungu BIBLIA. Kwa sasa nikisoma Biblia naelewa kabisa tofauti na zamani. Soma Kumbukumbu la Torati 30:19-20
 
Hapo kwenye kamjengo nakupa bigup za ukweli! Hongera sana!
Kwangu mimi jambo moja kubwa sana ninalojivunia ni kupata nguvu za kusoma neno la Mungu BIBLIA. Kwa sasa nikisoma Biblia naelewa kabisa tofauti na zamani. Soma Kumbukumbu la Torati 30:19-20
Amen...Mungu anijaliee na mimi katika mwaka ujao
 
Back
Top Bottom