Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 21,838
- 38,729
"Kwenye Boxing(masumbwi) kuna mashabiki bondia asiposhinda kwa knock out hawaridhiki, wanataka bondia ashinde sio kwa point bali kwa knock out. Ndivyo ilivyo hata kwenye soka, mashabiki wa Simba wanaolaumu timu kutovutia kiuchezaji wanapaswa kufahamu sisi msimu huu tunahitaji zaidi points"
"Msimu uliopita tuliongoza kwa kufunga mabao mengi kwenye ligi kuu Tanzania bara kuliko timu yoyote lakini hatukuwa mabingwa, sasa msimu huu tunataka kushinda mechi zote ikiwezekana bila kujali tumefunga mabao mangapi maana lengo ni Ubingwa tu na sio kitu kingine"
"Hao wanaotaka magoli mengi na mpira mzuri niwaulize, vipi kama tukishinda mechi zote na tukawa mabingwa watalaumu ?!"
"Hao waliofunga tano tano upepo umekata mbona wameanza kufunga mojamoja".
"Msimu uliopita tuliongoza kwa kufunga mabao mengi kwenye ligi kuu Tanzania bara kuliko timu yoyote lakini hatukuwa mabingwa, sasa msimu huu tunataka kushinda mechi zote ikiwezekana bila kujali tumefunga mabao mangapi maana lengo ni Ubingwa tu na sio kitu kingine"
"Hao wanaotaka magoli mengi na mpira mzuri niwaulize, vipi kama tukishinda mechi zote na tukawa mabingwa watalaumu ?!"
"Hao waliofunga tano tano upepo umekata mbona wameanza kufunga mojamoja".