Msema kweli mpenzi wa mungu,ni bora waseme ukweli kuliko danadana zczoisha,ili watu wajpange wasiogope kwani ajira c io uhai kwanba watu watapoteza maisha,kuliko hv kusubiri pas ya uelekeo,wananunua ndege kwa gharama kubwa wanashindwa kutoa ajira kwa waauguzi,walimu na kada nyingine sa hiyo ndege c itatusaidia kweli wa tabka la chini au wanajimegea wenyewe,kungekuwa na njia mbadala tungemrudisha jk maana aliangalia tbk la chini ,kuliko huyu matako mengi hewa,ukusanyaji kodi mkubwa hatuoni msaada wake,na bdo anataka kubadilisha noti je hizo process anazfanya kwa pesa ipi