Agustino Mrema atimuliwa TLP

Kipenzi Changu

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
59,202
Reaction score
138,568
Wakuu gazeti la Mtanzania leo limeripoti kuwa eti Mh.Mrema ametimuliwa katika chama lake la TLP.

Mtanzania limeandika kuwa,akiongea na gazeti Mwenyekiti wa kamati ya Maridhiano TLP Bwn.Kinanda amesema kamati ya maridhiano imefikia hatua hiyo baada ya kujiridhisha na ukiukwaji wa taratibu za kuendesha chama.

Mh.Mrema ni mmoja kati ya waliovuliwa uanachama wa TLP.

Pia Tanzania Daima imeripoti Hivyo.

==========================

Chanzo: Mtanzania
 
Mrema ni mmiliki wa chama kama alivyo Mbowe, hawezi kufukuzwa.

Ni sawa na Chadema imvue uanachama Mbowe kwa kukibadilisha kinyemela kifungu cha ukomo wa uongozi kwenye katiba ya chama. Ni kitu kisichowezekana.
 
Mtanzania, Tanzania Daima hayaaminiki sana, tungoje uthibitisho mwingine,, hata hivyo Mrema siasa imeshamchoka kitambo!
 
Mrema ni mmiliki wa chama kama alivyo Mbowe, hawezi kufukuzwa.

CHADEMA ni mali ya MBOWE na ukoo wa ndesa, hata kabla ya uchaguzi mkuu , familia imeshateua wabunge wa viti maalumu toka kwenye ukoo, piga wale ndugu, wake na wenye ukoo na wenye kuimiliki CHADEMA lazima watakuwa wabunge wa viti maalumu chadema mwaka huu baada ya uchaguzi
 
Laki si pesa
Bu7 ndio pesa akili yako ilivyo mgando una mfananisha Mrema marehem wa siasa Na waziri mkuu ajaee
 
Last edited by a moderator:

Habar ya Mrema na Mboye anahusika nn hapo, yaan nyie watoto wa Lumumba huwa mnawashwaga huku nyuma kuna kidudu mtu kinakutekenya nn unataka kuliwa liwa tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…