Kipenzi Changu
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 58,082
- 134,484
acha kabisa ndg. sasa iv halmashauri nyingi wataanza kufanya vikao kwa kilugha. kuna wilaya nyingine wamekutana DC na DED wote wa kulekuleduh! kigezo cha kuwa msukuma kinamtosha
ewaaa c.c NdalamaNdiyo huyu ? AGNES MKANDYA.View attachment 370360 View attachment 370361
Vicky alikuwa DED wapi vile?Anaonekana mchapa kazi na sio akina Vick Kamata wa kipindi kile cha JK
we tulia hapa hapa,usibadili chanel.tena wahi sit ya mbele.ninachoweza kukifanyia promo humu ni Chadema pekee.Nia na madhumuni ya huu uzi ni nini haswa? Au ndo promo
Na bado akina masawe wamekula mno hii nchi sasa zamu ya waliooitwa tangu uhuru washamba ha haaasacha kabisa ndg. sasa iv halmashauri nyingi wataanza kufanya vikao kwa kilugha. kuna wilaya nyingine wamekutana DC na DED wote wa kulekule
Nilidhani ni chuma kama vya awamu iliyopita!Ndiyo huyu ? AGNES MKANDYA.View attachment 370360 View attachment 370361
Hakuwa DED isipokuwa alichaguliwa kwa sababu za mambo ya ndani kipindi kile kuwa mbuge viti maalumu akiwakilisha Geita.Vicky alikuwa DED wapi vile?
Kuteta. Kazi yetu wana JF ni kuteta...Nia na madhumuni ya huu uzi ni nini haswa? Au ndo promo