Afya ya akili ni muhimu sana kwenye jamii yetu ya Tanzania

Big Phil

Member
Nov 20, 2019
50
338
Habari!

Kumekuwa na taarifa nyingi za kushtusha za mauaji ya wanandoa, watoto, na kesi nyingi Sana za kushtusha ambazo mwanzoni hazikuwa zinatokea mara kwa mara kama ilivyo sasa hivi. Huwa na jiuliza tatizo ni nini haswa.
1. Maisha magumu?
2. Mmong'onyoko wa maadili kwenye jamii zetu.
3. Stress
Nakuja kugundua ni afya ya akili. Wengi wetu kwenye jamii tunasumbuliwa na tatizo la afya ya akili (Mental health) bila kujua na tatizo la afya ya akili halipewi nafasi kubwa kwenye jamii yetu na kufanya watu wengi tuishi kwa mazoea. Mfano juzi kijana ambaye ana miezi 4 tu kwenye ndoa kamuua mke wake kwa kumpiga bastola mara 7, na yeye kujiua kwa kujipiga bastola. Ili ni tukio la kuhuzunisha sana na kusikitisha pia, lakini kiini chake ni tatizo la akili. Wenzetu nchi zilizoendelea wana vitengo vya marriage counselling ambapo kunawapa nafasi wanandoa kujadili matatizo yao na kuyapatia suluhu na kama ikishindikana basi kupeana talaka, Zanzibar baba mzazi kumuingilia binti yake wa kumzaa kinyume na maumbile na matukio mengine maovu kwenye jamii. Nadhani ni wakati muafaka kwa nchi yetu kulitambua tatizo la afya ya akili na kulipatia ufumbuzi kuzuia mauji, ubakaji na kulinda jamii yetu ya Kitanzania.

Article inayokuja nitaelezea tatizo ya afya ya akili na namna gani unaweza kutibu.
 
Utafiti uliofanyika 2016 ilikuwa kati ya watanzania 4 moja alikuwa kichaa saa hivi unataka kutuaminisha kwamba kati ya 4 1 ni timamu
 
Habari!

Kumekuwa na taarifa nyingi za kushtusha za mauaji ya wanandoa, watoto, na kesi nyingi Sana za kushtusha ambazo mwanzoni hazikuwa zinatokea mara kwa mara kama ilivyo sasa hivi. Huwa na jiuliza tatizo ni nini haswa.
1. Maisha magumu?
2. Mmong'onyoko wa maadili kwenye jamii zetu.
3. Stress
Nakuja kugundua ni afya ya akili. Wengi wetu kwenye jamii tunasumbuliwa na tatizo la afya ya akili (Mental health) bila kujua na tatizo la afya ya akili halipewi nafasi kubwa kwenye jamii yetu na kufanya watu wengi tuishi kwa mazoea. Mfano juzi kijana ambaye ana miezi 4 tu kwenye ndoa kamuua mke wake kwa kumpiga bastola mara 7, na yeye kujiua kwa kujipiga bastola. Ili ni tukio la kuhuzunisha sana na kusikitisha pia, lakini kiini chake ni tatizo la akili. Wenzetu nchi zilizoendelea wana vitengo vya marriage counselling ambapo kunawapa nafasi wanandoa kujadili matatizo yao na kuyapatia suluhu na kama ikishindikana basi kupeana talaka, Zanzibar baba mzazi kumuingilia binti yake wa kumzaa kinyume na maumbile na matukio mengine maovu kwenye jamii. Nadhani ni wakati muafaka kwa nchi yetu kulitambua tatizo la afya ya akili na kulipatia ufumbuzi kuzuia mauji, ubakaji na kulinda jamii yetu ya Kitanzania.

Article inayokuja nitaelezea tatizo ya afya ya akili na namna gani unaweza kutibu.
Nasubiri article inayofuata
 
Kwa wenzetu huko nchi za ughaibuni, kuna madaktari wengi wa akili. Imekuwa kama biashara ukiona akili yako haiko sawa unnaenda kutibiwa kwenye practice zao, hao ma psychiatrist. Kuna haja ya kutoa hii course kwenye vyuo vyetu. .

Watuleteee pia na sperm banking tuka donate sperm zetu kwa mapesa. Maisha hayasomeki tunakosa mengi hela za nje nje. .
 
Habari!

Kumekuwa na taarifa nyingi za kushtusha za mauaji ya wanandoa, watoto, na kesi nyingi Sana za kushtusha ambazo mwanzoni hazikuwa zinatokea mara kwa mara kama ilivyo sasa hivi. Huwa na jiuliza tatizo ni nini haswa.
1. Maisha magumu?
2. Mmong'onyoko wa maadili kwenye jamii zetu.
3. Stress
Nakuja kugundua ni afya ya akili. Wengi wetu kwenye jamii tunasumbuliwa na tatizo la afya ya akili (Mental health) bila kujua na tatizo la afya ya akili halipewi nafasi kubwa kwenye jamii yetu na kufanya watu wengi tuishi kwa mazoea. Mfano juzi kijana ambaye ana miezi 4 tu kwenye ndoa kamuua mke wake kwa kumpiga bastola mara 7, na yeye kujiua kwa kujipiga bastola. Ili ni tukio la kuhuzunisha sana na kusikitisha pia, lakini kiini chake ni tatizo la akili. Wenzetu nchi zilizoendelea wana vitengo vya marriage counselling ambapo kunawapa nafasi wanandoa kujadili matatizo yao na kuyapatia suluhu na kama ikishindikana basi kupeana talaka, Zanzibar baba mzazi kumuingilia binti yake wa kumzaa kinyume na maumbile na matukio mengine maovu kwenye jamii. Nadhani ni wakati muafaka kwa nchi yetu kulitambua tatizo la afya ya akili na kulipatia ufumbuzi kuzuia mauji, ubakaji na kulinda jamii yetu ya Kitanzania.

Article inayokuja nitaelezea tatizo ya afya ya akili na namna gani unaweza kutibu.
Mkuu chanjo Hizo Ndo zimefanya kazi Na Ngoja kufikia 2040 tutajua hatujui
 
Back
Top Bottom