AFYA: Nawezaje kupunguza uzito

AFYA: Nawezaje kupunguza uzito

Mtafute jamaa Anaitwa Dr Boaz Mkumbo yupo Facebook anaelekeza ulaji wa vyakula na jinsi ya kupangilia mlo ! Anaiita Sayansi ya Mapishi
Amemsaidia Bi mkubwa wangu kutoka 107 hadi 80 aseee amependeza sana !! Mcheki
Aisee kilo 27 sii kitoto
 
Kaka na mimi nina KG kama zako nambie upo maeneo gani tushiriki mazoezi na diet mimi mwanzo nilifanya diet thru dk boaz mkumbo maelezo yake ila baada ya kupata matokeo niliacha ndo nataka nianze upya.
 
Back
Top Bottom